Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 18:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 18:5
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na chombo kile, alichokuwa akikifinyanga, kilipoharibika mkononi mwake yule mfinyanzi, alikitengeneza tena kuwa chombo kingine, kama alivyoona vema yule mfinyanzi kukifanya.


Ee nyumba ya Israeli, je! Siwezi mimi kuwatendea ninyi vile vile kama mfinyanzi huyu alivyotenda? Asema BWANA. Angalieni, kama udongo ulivyo katika mkono wa mfinyanzi, ndivyo mlivyo ninyi katika mkono wangu, Ee nyumba ya Israeli.