Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 18:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ondoka, ukashuke mpaka nyumba ya mfinyanzi, na huko nitakusikizisha maneno yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Shuka uende hadi nyumba ya mfinyanzi, nami huko nitakupa ujumbe wangu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Shuka uende mpaka nyumba ya mfinyanzi, nami huko nitakupa ujumbe wangu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ondoka, ukashuke mpaka nyumba ya mfinyanzi, na huko nitakusikizisha maneno yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 18:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

wakati huo BWANA alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako.


BWANA akaniambia hivi, Nenda ukajinunulie kitambaa cha kitani, ukajifunge kiunoni, wala usikitie majini.


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,


Basi nikashuka mpaka nyumba ya mfinyanzi, na tazama, alikuwa akifanya kazi yake kwa magurudumu.


Lakini kama wangalisimama katika baraza yangu, ndipo wangaliwasikizisha watu wangu maneno yangu, na kuwageuza waziache njia zao mbaya, na uovu wa matendo yao.


Haya ndiyo aliyonionesha; na tazama, Bwana alisimama karibu na ukuta uliojengwa kwa timazi, mwenye timazi mkononi mwake.


Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.


Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,