Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 17:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tazama, wao waniambia, Neno la BWANA liko wapi? Na lije, basi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tazama watu wanavyoniambia: “Jambo alilotishia Mwenyezi-Mungu liko wapi? Acha basi lije!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tazama watu wanavyoniambia: “Jambo alilotishia Mwenyezi-Mungu liko wapi? Acha basi lije!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tazama watu wanavyoniambia: “Jambo alilotishia Mwenyezi-Mungu liko wapi? Acha basi lije!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wao huendelea kuniambia, “Liko wapi neno la Mwenyezi Mungu? Sasa na litimie!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wao huendelea kuniambia, “Liko wapi neno la bwana? Sasa na litimie!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazama, wao waniambia, Neno la BWANA liko wapi? Na lije, basi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 17:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wasema, Na afanye haraka, aihimize kazi yake, tupate kuiona; na likaribie shauri lake aliye Mtakatifu wa Israeli, tupate kuliona.


Mwanadamu, ni mithali gani hii mliyo nayo katika nchi ya Israeli, mkisema, Siku hizo zinakawia na maono yote hayatimizwi.


Ole wenu! Ninyi mnaoitamani siku ya BWANA; kwa nini kuitamani siku ya BWANA? Ni giza, wala si nuru.


Mmemchokesha BWANA kwa maneno yenu. Lakini ninyi mwasema, Tumemchokesha kwa maneno gani? Kwa kuwa mwasema, Kila atendaye mabaya ni mwema machoni pa BWANA, naye huwafurahia watu hao, au, Mungu mwenye haki yuko wapi?