Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 16:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala usiingie ndani katika nyumba yenye karamu, kuketi pamoja nao, na kula na kunywa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala usiingie ndani katika nyumba yenye karamu, kuketi pamoja nao, na kula na kunywa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 16:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Sikai pamoja na watu waovu, Wala sitaingia kuwa pamoja na wanafiki.


Sikuketi katika mkutano wao wanaojifurahisha, wala sikufurahi, niliketi peke yangu kwa sababu ya mkono wako; kwa maana umenijaza ghadhabu.


Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hadi siku ile aliyoingia Nuhu katika safina,


Lakini, mambo yalivyo, niliwaandikia kwamba msichangamane na mtu aitwaye ndugu, akiwa ni mzinzi au mwenye kutamani au mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnyang'anyi; mtu wa namna hii msikubali hata kula naye.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;