Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 15:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Mtu aweza kuvunja chuma, naam, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, mtu aweza kuvunja chuma, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, mtu aweza kuvunja chuma, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, mtu aweza kuvunja chuma, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Je, mtu aweza kuvunja chuma, chuma kinachotoka kaskazini, au avunje shaba?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Je, mtu aweza kuvunja chuma, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Mtu aweza kuvunja chuma, naam, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 15:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Au je! Wewe una mkono kama Mungu? Waweza kutoa ngurumo kwa sauti kama yeye?


Ole wake ashindanaye na Muumba wake! Kigae kimoja katika vigae vya dunia! Je! Udongo umwambie yeye aufinyangaye; Unatengeneza nini? Au chombo ulichotengeneza hakina mikono?


Maana BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nimetia nira ya chuma juu ya shingo ya mataifa haya yote, ili wamtumikie Nebukadneza, mfalme wa Babeli nao watamtumikia; nami nimempa wanyama wa nchi pia.


Kisha mpaka wenu wa upande wa kaskazini utakuwa ni huu; kutoka bahari kubwa mtajiandikia mlima wa Hori;