Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 14:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye BWANA akaniambia, Usiwaombee watu hawa wapate heri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Usiwaombee watu hawa fanaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Usiwaombee watu hawa fanaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Usiwaombee watu hawa fanaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Mwenyezi Mungu akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha bwana akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye BWANA akaniambia, Usiwaombee watu hawa wapate heri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 14:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

basi sasa niache, ili hasira zangu ziwake juu yao, niwaangamize, nami nitakufanya wewe uwe taifa kuu.


Basi, usiwaombee watu hawa, wala usipaze sauti yako, wala kuwaombea dua watu hawa; maana sitawasikia wakati watakaponililia kwa ajili ya taabu yao.


Ndipo BWANA akaniambia, Hata wangesimama mbele zangu Musa na Samweli, moyo wangu usingewaelekea watu hawa; watupe, watoke mbele za macho yangu, wakaende zao.


Basi, wewe usiwaombee watu hawa, wala usiwapazie sauti yako, wala kuwaombea dua, wala usinisihi kwa ajili yao; kwa maana sitakusikiliza.


Mtu akimwona ndugu yake anatenda dhambi isiyo ya mauti, ataomba, na Mungu atampa uzima kwa ajili ya hao watendao dhambi isiyo ya mauti. Iko dhambi iliyo ya mauti. Sisemi ya kwamba ataomba kwa ajili ya hiyo.