Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 14:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno la BWANA lililomjia Yeremia, kuhusu ukosefu wa mvua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia kuhusu ule ukame:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia kuhusu ule ukame:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia kuhusu ule ukame:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili ndilo neno la Mwenyezi Mungu kwa Yeremia kuhusu ukame:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili ndilo neno la bwana kwa Yeremia kuhusu ukame:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la BWANA lililomjia Yeremia, kuhusu ukosefu wa mvua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 14:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitaliharibu; wala halitapogolewa wala kulimwa, bali litamea mbigili na miiba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.


Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa joto ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.


Kwa sababu hiyo manyunyu yamezuiliwa, wala hapakuwa na mvua ya vuli; hata hivyo ulikuwa na kipaji cha uso cha kahaba, ulikataa kutahayarika.


Maovu yenu yameyageuza haya, na dhambi zenu zimewazuilia mema msiyapate.