Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 13:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi nikaenda, nikakificha karibu na mto Frati, kama BWANA alivyoniamuru.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, nikaenda na kukificha kikoi hicho karibu na mto Eufrate, kama Mwenyezi-Mungu alivyoniamuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, nikaenda na kukificha kikoi hicho karibu na mto Eufrate, kama Mwenyezi-Mungu alivyoniamuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, nikaenda na kukificha kikoi hicho karibu na mto Eufrate, kama Mwenyezi-Mungu alivyoniamuru.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo nikaenda na kuuficha ule mkanda huko Frati, kama Mwenyezi Mungu alivyoniamuru.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo nikaenda na kuuficha ule mkanda huko Frati, kama bwana alivyoniamuru.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi nikaenda, nikakificha karibu na mto Frati, kama BWANA alivyoniamuru.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 13:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akafanya hayo yote; kama BWANA aliyoagiza ndivyo alivyofanya yote.


Hata ikawa, baada ya siku nyingi, BWANA akaniambia, Ondoka, nenda mpaka mto Frati, ukakitwae kile kitambaa, nilichokuamuru kukificha huko.


Basi nikatoa unabii kama nilivyoamriwa; hata nilipokuwa nikitoa unabii, palikuwa na mshindo mkuu; na tazama, tetemeko la nchi, na ile mifupa ikasogeleana, mfupa kwa mfupa mwenziwe.


Ushiriki taabu pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu.


Kwa imani Abrahamu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.