Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 10:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huupamba kwa fedha na dhahabu; huukaza kwa misumari na nyundo, usitikisike.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha watu hukipamba kwa fedha na dhahabu wakakipigilia misumari kwa nyundo ili kisije kikaanguka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha watu hukipamba kwa fedha na dhahabu wakakipigilia misumari kwa nyundo ili kisije kikaanguka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha watu hukipamba kwa fedha na dhahabu wakakipigilia misumari kwa nyundo ili kisije kikaanguka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanauremba kwa fedha na dhahabu, wanaukaza kwa nyundo na misumari ili usitikisike.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanaparemba kwa fedha na dhahabu, wanakikaza kwa nyundo na misumari ili kisitikisike.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huupamba kwa fedha na dhahabu; huukaza kwa misumari na nyundo, usitikisike.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 10:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu.


Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu.


Mfua chuma hufanza shoka, hufanya kazi kwa makaa, huitengeneza sanamu kwa nyundo, huifanyiza kwa nguvu za mkono wake; naam, huona njaa, nguvu zake zikampungukia; asipokunywa maji huzimia.


Watu wamwagao dhahabu kutoka mfukoni, na kupima fedha katika mizani, huajiri mfua dhahabu, akaifanya mungu; huanguka, naam, huabudu.


Humchukua begani, humchukua, wakamsimamisha mahali pake, akasimama; hataondoka katika mahali pake, naam, mmoja atamwita, lakini hawezi kujibu, wala kumwokoa kutoka kwa taabu yake.


Na sasa wanazidi kufanya dhambi, nao wamejifanyia sanamu kwa fedha yao, naam, sanamu kwa kadiri ya akili zao; zote pia ni kazi ya mafundi; nao huzitaja hivi, Wanaume watoao dhabihu na wazibusu ndama.


Ole wake yeye auambiaye mti, Amka; aliambiaye jiwe lisiloweza kusema, Ondoka! Je! Kitu hicho kitafundisha? Tazama, kimefunikwa kwa dhahabu na fedha, wala hamna pumzi ndani yake kabisa.