Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 5:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akaomba tena, nazo mbingu zikatoa mvua, nayo ardhi ikatoa mazao yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akaomba tena, nazo mbingu zikatoa mvua nayo ardhi ikatoa mazao yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 5:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akajibu, Si mimi niliyewataabisha Israeli; bali ni wewe, na nyumba ya baba yako, kwa kuwa mmeziacha amri za BWANA; nawe umewafuata mabaali.


Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je! Mbingu zaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee BWANA, Mungu wetu? Kwa sababu hiyo tutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote.


Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.