Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 4:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 4:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.


Kama nisingalikuja na kusema nao, wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa hawana kisingizio kwa dhambi yao.


Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini kwa kuwa sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.


Basi je! Ile iliyo njema ilikuwa mauti kwangu mimi? La hasha! Bali dhambi, ili ionekane kuwa ni dhambi hasa, ilifanya mauti ndani yangu kwa njia ya ile njema, kusudi kwa ile amri dhambi izidi kuwa mbaya mno.


Maana ingekuwa heri kwao kama wasingaliijua njia ya haki, kuliko kuijua, kisha kuiacha ile amri takatifu waliyopewa.