Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 3:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 3:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Watazaa matunda hadi wakati wa uzee, Watajaa utomvu, watakuwa na ubichi.


Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.


Azitegemeaye mali zake ataanguka; Mwenye haki atasitawi kama jani.


Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.


Jipandieni katika haki, vuneni kwa fadhili; uchimbueni udongo wa mashamba yenu, kwa maana wakati umewadia wa kumtafuta BWANA, hata atakapokuja na kuwanyeshea haki.


Je! Farasi watapiga mbio juu ya mwamba? Je! Mtu atalima kwa plau na ng'ombe baharini? Hata mmegeuza hukumu kuwa sumu, na matunda ya haki kuwa uchungu;


Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.


Naye avunaye hupokea mshahara, na kukusanya matunda kwa uzima wa milele, ili yeye apandaye na yeye avunaye wapate kufurahi pamoja.


Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.


akiwa mmejazwa matunda ya haki, kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.


Kila adhabu wakati wake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni; lakini baadaye huwaletea wao waliozoeshwa nayo matunda ya haki yenye amani.


kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.