Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vivyo hivyo, imani peke yake, kama haikuambatana na matendo, imekufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vivyo hivyo, imani peke yake kama haikuambatana na matendo, imekufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 2:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni upendo.


Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidi kitu.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya imani, na taabu yenu ya upendo, na subira yenu ya tumaini lililo katika Bwana wetu Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu.


Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki.


Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?


Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.