Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wimbo Ulio Bora 3:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mfalme Sulemani alijitengenezea machela Ya miti ya Lebanoni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme Solomoni alijitengenezea machela, kwa mbao nzuri kutoka Lebanoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme Solomoni alijitengenezea machela, kwa mbao nzuri kutoka Lebanoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme Solomoni alijitengenezea machela, kwa mbao nzuri kutoka Lebanoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfalme Sulemani alijitengenezea gari; alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfalme Sulemani alijitengenezea gari; alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mfalme Sulemani alijitengenezea machela Ya miti ya Lebanoni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wimbo Ulio Bora 3:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Sivyo ilivyo nyumba yangu mbele za BWANA? Kwa kuwa amefanya nami agano la milele; Ina taratibu katika yote, ni thabiti, Maana ni wokovu wangu wote, na shauku langu lote.


Nguzo zake alizitengeneza za fedha, Na mgongo wake wa dhahabu, Kiti chake kimepambwa urujuani, Gari lake limenakishiwa njumu, Hiba ya binti za Yerusalemu.


Tazama, ni machela yake Sulemani; Mashujaa sitini waizunguka, Wa mashujaa wa Israeli.


Wote wameshika upanga, Wamehitimu kupigana; Kila mtu anao upanga wake pajani Kwa hofu ya kamsa za usiku.


Kisha nikaona malaika mwingine, akiruka katikati ya mbingu, akiwa na Injili ya milele, awahubirie hao wakaao juu ya nchi, na kila taifa na kabila na lugha na jamaa,