Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wimbo Ulio Bora 1:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, Na viguzo vyetu ni miberoshi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

mierezi itakuwa nguzo za nyumba yetu, na miberoshi itakuwa dari yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

mierezi itakuwa nguzo za nyumba yetu, na miberoshi itakuwa dari yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mierezi itakuwa nguzo za nyumba yetu, na miberoshi itakuwa dari yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, Na viguzo vyetu ni miberoshi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wimbo Ulio Bora 1:17
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akavijenga vyumba mbavuni mwa nyumba yote, kwenda juu kwake kila kimoja kilikuwa mikono mitano; vikaitegemea nyumba kwa boriti za mwerezi.


Basi ndivyo alivyoijenga nyumba, akaimaliza; akaifunika nyumba kwa boriti na mbao za mwerezi.


Nayo nyumba kubwa ilizungushiwa miti ya miberoshi, aliyoifunikiza kwa dhahabu safi, juu yake akaichora mitende na minyororo.


Mwenye haki atastawi kama mtende, Atakua kama mwerezi wa Lebanoni.


Kichwa chako juu yako ni kama Karmeli, Na nywele za kichwa chako kama urujuani, Mfalme amenaswa na mashungi yake.


Kama akiwa tu ukuta, Tumjengee buruji za fedha; Na kama akiwa ni mlango, Tumhifadhi kwa mbao za mierezi.


Asemaye, Nitajijengea nyumba kubwa yenye vyumba vipana; Naye hujikatia madirisha; Na kuta zake zimefunikwa kwa mierezi, Na kupakwa rangi nyekundu.


na vizingiti, na madirisha yaliyofungwa, na baraza za pande zote za ghorofa zile tatu, zilizokikabili kizingiti, zilitiwa mabamba ya mti pande zote; na toka chini hadi madirishani; (nayo madirisha yamefunikwa);


Kukabili zile dhiraa ishirini za ua wa ndani, na kukabili sakafu ya mawe ya ua wa nje, palikuwa na baraza kukabili baraza katika ghorofa ya tatu.


Maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi, ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.