Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wimbo Ulio Bora 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tutakutengenezea mashada ya dhahabu, Yenye vifungo vya fedha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini tutakufanyizia mikufu ya dhahabu, iliyopambwa barabara kwa fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini tutakufanyizia mikufu ya dhahabu, iliyopambwa barabara kwa fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini tutakufanyizia mikufu ya dhahabu, iliyopambwa barabara kwa fedha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tutakutengenezea mashada ya dhahabu, Yenye vifungo vya fedha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wimbo Ulio Bora 1:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila kiumbe kitambaacho nchini.


Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake, Huwapamba wenye upole kwa wokovu.


Mashavu yako ni mazuri kwa mashada, Shingo yako kwa mikufu ya vito.


Muda mfalme alipoketi juu ya kochi, Nardo yangu ilitoa harufu yake.


Kama akiwa tu ukuta, Tumjengee buruji za fedha; Na kama akiwa ni mlango, Tumhifadhi kwa mbao za mierezi.


Nikatia kishaufu puani mwako, na herini masikioni mwako, na taji zuri juu ya kichwa chako.


atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.