Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 6:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata kidogo! Kuhusu dhambi sisi tumekufa – tutaendeleaje kuishi tena katika dhambi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata kidogo! Kuhusu dhambi sisi tumekufa – tutaendeleaje kuishi tena katika dhambi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata kidogo! Kuhusu dhambi sisi tumekufa — tutaendeleaje kuishi tena katika dhambi?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

La hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutawezaje kuendelea kuishi tena katika dhambi?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

La hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutawezaje kuendelea kuishi tena katika dhambi?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 6:2
18 Marejeleo ya Msalaba  

Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?


Kwa mausia yako najipatia ufahamu, Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.


Atakuja na kuwaangamiza wakulima wale, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine. Waliposikia hayo walisema, Hasha! Yasitukie haya!


Wala si hivyo tu, ila pia twajifurahisha katika Mungu kwa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye sasa tumeupokea huo upatanisho.


Ni nini basi? Tufanye dhambi kwa sababu hatuwi chini ya sheria bali chini ya neema? La hasha!


Kadhalika, ndugu zangu, ninyi pia mmeifia torati, kwa njia ya mwili wa Kristo, mpate kuwa mali ya mwingine, yeye aliyefufuka katika wafu, kusudi tumzalie Mungu matunda.


Bali sasa tumefunguliwa katika torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani, ya andiko.


Maana mimi kwa njia ya sheria niliifia sheria ili nimwishie Mungu.


Lakini mimi, la hasha, nisione fahari juu ya kitu chochote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambao kwa huo ulimwengu umesulubishwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu.


Basi ikiwa mlikufa pamoja na Kristo mkayaacha yale mafundisho ya awali ya ulimwengu, kwa nini kujitia chini ya amri, kama wenye kuishi duniani,


Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.


Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.


Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.