Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 4:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini kwa mtu afanyaye kazi, ujira wake hauhesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kwa mtu afanyaye kazi, ujira wake hauhesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 4:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?


Lakini ikiwa ni kwa neema, haiwi kwa matendo tena, au hapo neema isingekuwa neema.


wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu;


Kwa sababu gani? Kwa sababu hawakuifuata kwa njia ya imani, bali kana kwamba kwa njia ya matendo. Wakajikwaa juu ya jiwe lile likwazalo,