Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 4:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini haikuandikwa kwa ajili yake tu kwamba ilihesabiwa kwake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini haikuandikwa kwa ajili yake tu kwamba ilihesabiwa kwake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 4:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.


Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiwa na miisho ya nyakati.


Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.