Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.
Waroma 4:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Lakini haikuandikwa kwa ajili yake tu kwamba ilihesabiwa kwake; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu. Biblia Habari Njema - BHND Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu. Neno: Bibilia Takatifu Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake, Neno: Maandiko Matakatifu Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake, BIBLIA KISWAHILI Lakini haikuandikwa kwa ajili yake tu kwamba ilihesabiwa kwake; |
Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.
Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiwa na miisho ya nyakati.
Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.