Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.
Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”
Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.
Maana Maandiko yasemaje? Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.
Kama vile Daudi ainenavyo heri yake mtu yule ambaye Mungu amhesabia kuwa na haki pasipo matendo,