Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 3:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Myahudi ana nini zaidi? Na kutahiriwa kwafaa nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Myahudi ana nini zaidi kuliko watu wengine? Au kutahiriwa kuna faida gani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Myahudi ana nini zaidi kuliko watu wengine? Au kutahiriwa kuna faida gani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Myahudi ana nini zaidi kuliko watu wengine? Au kutahiriwa kuna faida gani?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Au kuna thamani gani katika tohara?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Au kuna thamani gani katika tohara?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Myahudi ana nini zaidi? Na kutahiriwa kwafaa nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 3:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini haki hii ya uzazi?


Hakulitendea taifa lolote mambo kama hayo, Wala hukumu zake hawakuzijua. Haleluya.


Basi, kwa kuwa kuna mambo mengi yaongezayo ubatili, mwanadamu hufaidiwa nini?


Kwa maana mwenye hekima hupata faida gani kuliko mpumbavu? Au maskini ana nini kuliko yeye ajuaye kwenda mbele ya walio hai?


Mmesema, Kumtumikia Mungu hakuna faida; na, Tumepata faida gani kwa kuyashika maagizo yake, na kwa kwenda kwa huzuni mbele za BWANA wa majeshi?


Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.


Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.


Ni nini basi? Tu bora kuliko wengine? La! Hata kidogo. Kwa maana tumekwisha kuwashitaki Wayahudi na Wagiriki ya kwamba pia wamekuwa chini ya dhambi;


Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nilipigana na hayawani wakali kule Efeso, nina faida gani? Wasipofufuliwa wafu, na tule, na tunywe, maana kesho tutakufa.


Msichukuliwe na mafundisho ya namna nyingine nyingine, na ya kigeni; maana ni vizuri moyo ufanywe imara kwa neema, wala si kwa vyakula, ambavyo wao waliokwenda navyo hawakupata faida.