Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 16:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Namkabidhi kwenu Fibi, dada yetu, aliye mhudumu wa kanisa lililoko Kenkrea;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mhudumu katika kundi la waumini la Kenkrea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kundi la waumini la Kenkrea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Namkabidhi kwenu Fibi, dada yetu, aliye mhudumu wa kanisa lililoko Kenkrea;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 16:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye kaka yangu, na dada yangu na mama yangu.


ila atapewa mara mia sasa wakati huu, nyumba, na ndugu wa kiume, na ndugu wa kike, na mama, na watoto, na mashamba, pamoja na udhia; na katika ulimwengu ujao uzima wa milele.


na Yoana mkewe Kuza, wakili wake Herode, na Susana, na wengine wengi, waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.


Baada ya hayo Paulo akazidi kukaa huko siku nyingi, kisha akaagana na ndugu akaabiri kwenda Shamu; na Priskila na Akila wakaenda pamoja naye, alipokwisha kunyoa kichwa chake huko Kenkrea; maana alikuwa ana nadhiri.


Je! Tunaanza tena kujisifu wenyewe? Au tunahitaji, kama wengine, barua zenye sifa kuja kwenu, au kutoka kwenu?


wanawake wazee kama mama; wanawake vijana kama ndugu wa kike; katika usafi wote.


na kwa Afia, dada yetu, na kwa Arkipo askari mwenzetu, na kwa kanisa lililo katika nyumba yako.


Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa na riziki,