Waroma 15:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Na tena, Enyi Mataifa yote, msifuni Bwana; Enyi watu wote, mhimidini. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Na tena: “Enyi mataifa yote, msifuni Bwana; enyi watu wote, msifuni.” Biblia Habari Njema - BHND Na tena: “Enyi mataifa yote, msifuni Bwana; enyi watu wote, msifuni.” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Na tena: “Enyi mataifa yote, msifuni Bwana; enyi watu wote, msifuni.” Neno: Bibilia Takatifu Tena, “Msifuni Mwenyezi Mungu, ninyi watu wa Mataifa wote, na kumwimbia sifa, enyi watu wote.” Neno: Maandiko Matakatifu Tena, “Msifuni Bwana Mwenyezi, ninyi watu wa Mataifa wote, na kumwimbia sifa, enyi watu wote.” BIBLIA KISWAHILI Na tena, Enyi Mataifa yote, msifuni Bwana; Enyi watu wote, mhimidini. |
Na tena Isaya anena, Litakuwako shina la Yese, Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa; Ndiye Mataifa watakayemtumaini.