Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 14:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa habari zake mwenyewe mbele za Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja juu yake mwenyewe mbele ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja juu yake mwenyewe mbele ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja juu yake mwenyewe mbele ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa habari zake mwenyewe mbele za Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 14:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.


Kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.


Akamwita, akamwambia, Ni habari gani hii ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya uwakili wako, kwa kuwa huwezi kuwa wakili tena.


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee malipo ya mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyotenda, yawe ni mema au mabaya.


Maana kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.


Nao watatoa hesabu kwake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.