Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 10:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria, ili kila aaminiye ahesabiwe haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana kwa kuja kwake Kristo, sheria imefikia kikomo chake, ili wote wanaoamini wafanywe waadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana kwa kuja kwake Kristo, sheria imefikia kikomo chake, ili wote wanaoamini wafanywe waadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana kwa kuja kwake Kristo, sheria imefikia kikomo chake, ili wote wanaoamini wafanywe waadilifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana Al-Masihi ni ukomo wa sheria ili kila mtu aaminiye ahesabiwe haki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana Al-Masihi ni ukomo wa sheria ili kuwe na haki kwa kila mtu aaminiye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria, ili kila aaminiye ahesabiwe haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 10:4
18 Marejeleo ya Msalaba  

Ataona mazao ya taabu ya nafsi yake, na kuridhika. Kwa maarifa yake mtumishi wangu mwenye haki Atawafanya wengi kuwa wenye haki; Naye atayachukua maovu yao.


ng'ombe dume mchanga, mmoja na kondoo dume mmoja, na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kuwa sadaka ya kuteketezwa;


Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Ndipo akakubali.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote waaminio. Maana hakuna tofauti;


Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;


Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani.


kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana.


Na ninyi mmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka.


mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.


Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata milele hao wanaotakaswa.