Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 10:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Mwenyezi Mungu, ataokolewa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana Mwenyezi, ataokolewa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 10:13
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na itakuwa ya kwamba mtu awaye yote atakayeliita jina la BWANA ataponywa; kwa kuwa katika mlima Sayuni na katika Yerusalemu watakuwako watu watakaookoka, kama BWANA alivyosema; na katika mabaki, hao awaitao BWANA.


Na itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa.