Na itakuwa ya kwamba mtu awaye yote atakayeliita jina la BWANA ataponywa; kwa kuwa katika mlima Sayuni na katika Yerusalemu watakuwako watu watakaookoka, kama BWANA alivyosema; na katika mabaki, hao awaitao BWANA.
Waroma 10:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.” Biblia Habari Njema - BHND Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.” Neno: Bibilia Takatifu Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Mwenyezi Mungu, ataokolewa.” Neno: Maandiko Matakatifu Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana Mwenyezi, ataokolewa.” BIBLIA KISWAHILI kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka. |
Na itakuwa ya kwamba mtu awaye yote atakayeliita jina la BWANA ataponywa; kwa kuwa katika mlima Sayuni na katika Yerusalemu watakuwako watu watakaookoka, kama BWANA alivyosema; na katika mabaki, hao awaitao BWANA.