Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waroma 1:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

siku zote katika sala zangu, nikiomba nije kwenu hivi karibu, Mungu akipenda kuifanikisha safari yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

daima katika sala zangu. Namwomba Mungu akipenda, anipatie nafasi nzuri ya kuja kwenu sasa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

daima katika sala zangu. Namwomba Mungu akipenda, anipatie nafasi nzuri ya kuja kwenu sasa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

daima katika sala zangu. Namwomba Mungu akipenda, anipatie nafasi nzuri ya kuja kwenu sasa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

katika maombi yangu siku zote. Nami ninaomba kwamba hatimaye sasa kwa mapenzi ya Mungu, njia ipate kufunguliwa kwa ajili yangu ili nije kwenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

katika maombi yangu siku zote, nami ninaomba kwamba hatimaye sasa kwa mapenzi ya Mungu, njia ipate kufunguliwa kwa ajili yangu ili nije kwenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

siku zote katika sala zangu, nikiomba nije kwenu hivi karibuni, Mungu akipenda kuifanikisha safari yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waroma 1:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

bali aliagana nao, akisema, Nitarejea kwenu tena, Mungu akinijalia. Akatweka, akatoka Efeso,


Mambo hayo yalipokwisha kumalizika, Paulo akaazimu rohoni mwake, akiisha kupita katika Makedonia na Akaya, aende Yerusalemu, akisema, Baada ya kuwako huko, yanipasa kuuona na Rumi pia.


Alipokataa shauri letu, tukanyamaza tukisema, Mapenzi ya Bwana na yatendeke.


Nami najua ya kuwa nikija kwenu nitakuja kwa utimilifu wa baraka ya Kristo.


Paulo, aliyeitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, na Sosthene ndugu yetu,


Lakini nitakuja kwenu upesi, nikijaliwa, nami nitafahamu, si neno lao tu wajivunao, bali nguvu zao.


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.


Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, nilitaka kuja mara kwa mara, lakini Shetani akatuzuia.


Na pamoja na hayo uniwekee tayari mahali pa kukaa; maana natumaini ya kwamba kwa maombi yenu nitarejeshwa kwenu.


Nami nawasihi zaidi sana kufanya hayo ili nirudishwe kwenu upesi.


Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.