Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 8:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Musa akawaleta Haruni na wanawe, akawaosha kwa maji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo Mose akawaleta Aroni na wanawe na kuwatawadha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo Mose akawaleta Aroni na wanawe na kuwatawadha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo Mose akawaleta Aroni na wanawe na kuwatawadha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Musa akamleta Haruni na wanawe mbele, akawaosha kwa maji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Musa akamleta Haruni na wanawe mbele, akawaosha kwa maji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Musa akawaleta Haruni na wanawe, akawaosha kwa maji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 8:6
19 Marejeleo ya Msalaba  

Nitanawa mikono yangu bila ya kuwa na hatia, Na kuizunguka madhabahu yako, Ee BWANA


Unioshe kabisa uovu wangu, Unitakase dhambi zangu.


Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.


Kisha mlete Haruni na wanawe hata mlangoni pa hema ya kukutania, ukawaoshe kwa maji.


Na Haruni na wanawe wataosha mikono yao na miguu yao humo;


hapo waingiapo ndani ya hema ya kukutania; watajiosha majini, ili wasife; au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike, kumteketezea BWANA sadaka ya moto;


Kisha utamleta Haruni na wanawe hapo mlangoni pa hema ya kukutania, nawe utawaosha kwa maji.


Jiosheni, jitakaseni; ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu; acheni kutenda mabaya;


Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni kutoka kwa uchafu wenu wote, na kutoka kwa vinyago vyenu vyote.


Ataivaa ile kanzu takatifu ya kitani, atakuwa na zile suruali za kitani mwilini mwake, atafungwa ule mshipi wa kitani, naye atavaa ile kofia ya kitani; hayo ndiyo mavazi matakatifu, naye ataoga mwili wake majini, na kuyavaa.


Musa akawaambia mkutano, Neno aliloliagiza BWANA kwamba lifanywe, ni hili.


Katika siku hiyo watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, watafunguliwa chemchemi ya kuwatakasa kutoka kwa dhambi na kwa unajisi.


Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.


ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;


na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa miili kwa maji safi.


kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu, vyakula na vinywaji na kunawa kwingine kwingine, zilizoamriwa hata wakati wa matengenezo mapya.


Nikamwambia, Bwana wangu, wajua wewe. Akaniambia, Hao ndio wanatoka katika dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao, na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-kondoo.