Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 8:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nacho kitakachosalia katika hiyo nyama na mikate mtakichoma moto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyama yoyote au mkate wowote utakaosalia ni lazima kuteketezwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyama yoyote au mkate wowote utakaosalia ni lazima kuteketezwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyama yoyote au mkate wowote utakaosalia ni lazima kuteketezwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha mteketeze nyama na mikate iliyobaki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha teketeza nyama na mikate iliyobaki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nacho kitakachosalia katika hiyo nyama na mikate mtakichoma moto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 8:32
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wala msisaze kitu chake chochote hata asubuhi, bali kitu kitakachosalia hata asubuhi mtakichoma kwa moto.


Na kwamba kitu chochote cha ile nyama, iliyo kwa ajili ya kuweka kwa kazi takatifu, au chochote cha hiyo mikate, kikisalia hata asubuhi, ndipo utavichoma kwa moto hivyo vilivyosalia; havitaliwa, maana, ni vitu vitakatifu.


Usijisifu kwa ajili ya kesho; Kwa maana hujui yatakayozaliwa na siku moja.


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


lakini hicho kitakachosalia, katika hizo nyama za sadaka, hata siku ya tatu kitachomwa moto.


Wala msitoke nje mlangoni pa hema ya kukutania muda wa siku saba, hadi siku za kuwekwa wakfu kwenu zitakapotimia; kwa kuwa atawaweka muda wa siku saba.


(Kwa maana asema, Kwa wakati uliokubalika nilikusikia, Na katika siku ya wokovu nilikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.)