Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 26:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nanyi mtaangamia kati ya mataifa, na nchi ya adui zenu itawameza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtaangamia kati ya mataifa na nchi za adui zenu zitawameza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtaangamia kati ya mataifa na nchi za adui zenu zitawameza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtaangamia kati ya mataifa na nchi za adui zenu zitawameza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtaangamia kati ya mataifa; nchi ya adui zenu itawala.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtaangamia katikati ya mataifa; nchi ya adui zenu itawala.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nanyi mtaangamia kati ya mataifa, na nchi ya adui zenu itawameza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 26:38
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tena itakuwa katika siku hiyo, tarumbeta kubwa itapigwa, nao waliokuwa karibu kuangamia katika nchi ya Ashuru watakuja; na hao waliotupwa katika nchi ya Misri; nao watamsujudu BWANA katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.


bali katika mahali pale walipomchukua mateka ndipo atakapokufa, wala hataiona nchi hii tena kamwe.


Basi, sasa jueni sana ya kuwa mtakufa kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni, katika mahali pale mnapopatamani kwenda na kukaa.


Na watu wa kwenu watakaobaki watafifia kwa ajili ya uovu wao, katika hizo nchi za adui zenu; tena watafifia kwa ajili ya uovu wa baba zao, pamoja nao.


kwa hiyo utawatumikia adui zako atakaowaleta BWANA juu yako, kwa njaa, na kwa kiu, na kwa uchi, na kwa uhitaji wa vitu vyote; naye atakuvika kongwa la chuma shingoni mwako, hata atakapokwisha kukuangamiza.


BWANA atakurudisha tena Misri kwa merikebu, kwa njia ambayo nilikuambia, Hutaiona tena popote; nanyi huko mtajiuza nafsi zenu kwa adui zenu kuwa watumwa na wajakazi, wala hapana atakayewanunua.