Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 26:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nanyi mtakula nyama ya miili ya watoto wenu wa kiume, na nyama ya miili ya binti zenu mtaila.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo mtakula watoto wenu, wa kiume na kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo mtakula watoto wenu, wa kiume na kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo mtakula watoto wenu, wa kiume na kike.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtakula nyama ya wana wenu na nyama ya binti zenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtakula nyama ya wana wenu na nyama ya binti zenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nanyi mtakula nyama ya miili ya watoto wenu wa kiume, na nyama ya miili ya binti zenu mtaila.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 26:29
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitawalazimisha kula nyama ya wana wao, na nyama ya binti zao, nao watakula kila mmoja nyama ya rafiki yake, wakati wa mazingira na dhiki, ambayo adui zao, na watu wale watafutao roho zao, watawatesa.


Tazama, BWANA, uangalie, Ni nani uliyemtenda hayo! Je! Wanawake wale mazao yao, Watoto waliowabeba? Je! Kuhani na nabii wauawe Katika patakatifu pa Bwana?


Mikono ya wanawake wenye huruma Imewatokosa watoto wao wenyewe; Walikuwa ndio chakula chao Katika uharibifu wa binti ya watu wangu.


Kwa sababu hiyo baba za watu watawala wana wao kati yako, nao wana watawala baba zao; nami nitafanya hukumu ndani yako, na hao wote waliosalia kwako nitawatawanya kwa pepo zote.


Ole wao wenye mimba na wanyonyeshao siku hizo!


Kwa maana tazama, siku zitakuja watakaposema, Heri walio tasa, na matumbo yasiyozaa, na maziwa yasiyonyonyesha.