Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 26:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena ikiwa baada ya hayo yote hamtaki kunisikiza, bali mnaenda kinyume;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Na kama hata baada ya hayo yote bado hamtanisikiliza mkaendelea kunipinga,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Na kama hata baada ya hayo yote bado hamtanisikiliza mkaendelea kunipinga,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Na kama hata baada ya hayo yote bado hamtanisikiliza mkaendelea kunipinga,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Kama hata baada ya haya bado hamtanisikiliza lakini mkaendelea kuweka uadui nami,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Kama hata baada ya haya bado hamtanisikiliza lakini mkaendelea kuweka uadui nami,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena ikiwa baada ya hayo yote hamtaki kunisikiliza, bali mnaenda kinyume;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 26:27
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, tukamtokosa mtoto wangu, tukamla; nikamwambia siku ya pili, Mtoe mtoto wako, tumle; naye amemficha mtoto wake.


Nanyi ikiwa mnaenda kinyume changu, wala hamtaki kunisikiza; nitaleta mapigo mara saba zaidi juu yenu, kama dhambi zenu zilivyo.


nami nitawapiga, mara saba kwa ajili ya dhambi zenu.


Hapo nitakapovunja tegemeo lenu la mkate, wanawake kumi wataoka mikate yenu katika tanuri moja, nao watawapa mikate yenu tena kwa kupima kwa mizani; nanyi mtakula, lakini hamtashiba.


ndipo nami nitawaendea kinyume katika ghadhabu yangu; nami nitawaadhibu mara saba kwa dhambi zenu.


Kama vile mataifa yale ambayo BWANA anawaangamiza mbele yenu, ndivyo mtakavyoangamia; kwa sababu hamkutaka kuisikiliza sauti ya BWANA, Mungu wenu.