Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 25:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na kwa wanyama wako, na kwa wanyama walio katika nchi yako; mavuno yote yatakuwa ni chakula chao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nchi itailisha mifugo yenu na wanyama wa porini wanaokaa miongoni mwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nchi itailisha mifugo yenu na wanyama wa porini wanaokaa miongoni mwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nchi itailisha mifugo yenu na wanyama wa porini wanaokaa miongoni mwenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

vilevile malisho ya mifugo yenu na wanyama pori katika nchi yenu. Chochote nchi itakachozalisha kinaweza kuliwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

vilevile malisho ya mifugo yenu na wanyama pori katika nchi yenu. Chochote nchi itakachozalisha kinaweza kuliwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na kwa wanyama wako, na kwa wanyama walio katika nchi yako; mavuno yote yatakuwa ni chakula chao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 25:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

Utapanda mbegu katika nchi yako muda wa miaka sita na kupata mavuno yake;


Na hiyo Sabato ya nchi itakuwa chakula kwenu; kwako wewe, na kwa mtumishi wako, na kwa mjakazi wako, na kwa mtumishi aliyeajiriwa, na kwa mgeni wako akaaye pamoja nawe;


Nawe utajihesabia Sabato saba za miaka, maana, miaka saba mara saba; zitakuwa ni siku za Sabato saba za miaka kwenu, maana miaka arubaini na tisa.