Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 25:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa ni jubilii; utakuwa mwaka mtakatifu kwenu; mtakula mavuno yake yatokayo shambani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwaka huo ni wa sikukuu kwenu; utakuwa mwaka mtakatifu. Hivyo mtakula yale yanayoota yenyewe mashambani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwaka huo ni wa sikukuu kwenu; utakuwa mwaka mtakatifu. Hivyo mtakula yale yanayoota yenyewe mashambani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwaka huo ni wa sikukuu kwenu; utakuwa mwaka mtakatifu. Hivyo mtakula yale yanayoota yenyewe mashambani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa ni Yubile, nayo itakuwa takatifu kwenu; mtakula tu kile kilichotoka moja kwa moja mashambani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa ni yubile, nayo itakuwa takatifu kwenu; mtakula tu kile kilichotoka moja kwa moja mashambani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa ni jubilii; utakuwa mwaka mtakatifu kwenu; mtakula mavuno yake yatokayo shambani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 25:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaka huo wa hamsini utakuwa ni jubilii kwenu; msipande mbegu, wala msivune kitu hicho kimeacho chenyewe, wala msizitunde zabibu za mizabibu isiyopelewa.


Mwaka huo wa jubilii mtairudia kila mtu milki yake.