Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 24:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 24:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.


Ikiwa mtu atafunua shimo, au kuchimba shimo, naye asilifunike, kisha ikawa ng'ombe au punda kutumbukia humo,


ndipo itakapokuwa, akiwa amefanya dhambi, na kupata hatia, atarudisha hicho alichokipata kwa kunyang'anya, au kitu kile alichokipata kwa kuonea, au ile amana aliyowekewa, au kitu kile kilichopotea alichokipata yeye,