Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 24:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na atakayempiga mnyama hadi akafa atalipa; uhai kwa uhai.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: Uhai kwa uhai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: Uhai kwa uhai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: uhai kwa uhai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na atakayempiga mnyama hadi akafa atalipa; uhai kwa uhai.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 24:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa mtu atafunua shimo, au kuchimba shimo, naye asilifunike, kisha ikawa ng'ombe au punda kutumbukia humo,


Na mtu akimtia mwenziwe kilema; vile vile kama alivyofanya, naye atafanyiwa vivyo hivyo;


Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.


ndipo itakapokuwa, akiwa amefanya dhambi, na kupata hatia, atarudisha hicho alichokipata kwa kunyang'anya, au kitu kile alichokipata kwa kuonea, au ile amana aliyowekewa, au kitu kile kilichopotea alichokipata yeye,