Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 24:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na mtu ampigaye mtu hadi akafa, lazima atauawa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu yeyote anayeua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu yeyote anayeua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu yeyote anayeua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Kama mtu yeyote atamuua mtu mwingine, ni lazima auawe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Kama mtu yeyote atamuua mtu mwingine, ni lazima auawe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mtu ampigaye mtu hadi akafa, lazima atauawa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 24:17
11 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa.


Basi wakampisha njia; akaenda kwa njia ya kuingia kwa farasi nyumbani mwa mfalme; akauawa huko.


Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.


Lakini kama alimpiga kwa chombo cha chuma, akafa, ni mwuaji huyo; mwuaji hakika yake atauawa.


Na alaaniwe ampigaye mwenzake kwa siri. Na watu wote waseme Amina.