Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 21:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Mwanamke atakayeolewa na kuhani lazima awe bikira.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 21:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hawataoa wanawake wajane, wala mwanamke aliyeachwa na mume wake; lakini watatwaa mabikira wa wazao wa nyumba ya Israeli, au mjane aliyefiwa na mumewe kuhani.


wala asitoke katika mahali patakatifu, wala asipatie unajisi mahali patakatifu pa Mungu wake; kwa kuwa utakaso wa hayo mafuta ya kutiwa ya Mungu wake uko juu yake; mimi ndimi BWANA.


Asitwae mjane, wala mwanamke aliyeachwa na mumewe, wala mwanamke mwenye unajisi, wala kahaba; lakini atamwoa mwanamwali katika watu wake mwenyewe.


Wasimwoe mwanamke aliye kahaba, au huyo aliye mwenye unajisi; wala wasimwoe mwanamke aliyeachwa na mumewe; kwa kuwa yeye kuhani ni mtakatifu kwa Mungu wake.


Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa niliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.


Hawa ndio wasiojitia unajisi na wanawake, kwa maana ni bikira. Hawa ndio wamfuatao Mwana-kondoo kila aendako. Hawa wamenunuliwa katika wanadamu, malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-kondoo.