Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 20:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kama mwanamume akizini na mke wa jirani yake, ni lazima wote wawili wauawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kama mwanamume akizini na mke wa jirani yake, ni lazima wote wawili wauawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kama mwanamume akizini na mke wa jirani yake, ni lazima wote wawili wauawe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Ikiwa mtu atazini na mke wa mtu mwingine, yaani mke wa jirani yake, wazinzi hao wawili lazima wauawe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Ikiwa mtu atazini na mke wa mtu mwingine, yaani mke wa jirani yake, wazinzi hao wawili lazima wauawe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 20:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yule mwanamke akachukua mimba; basi akapeleka habari na kumwambia Daudi, akasema, Ni mja mzito.


Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa.


Kwani hilo lingekuwa kosa kuu; Naam, lingekuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi;


Kama moyo wangu ulishawishwa kwa mwanamke, Nami nimeotea mlangoni pa jirani yangu;


Usilale na mke wa mwenzio, ukajitia unajisi naye.


Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzawa mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.


na mwanamume akalala naye kwa uasherati, na jambo hilo likafichika kwa mumewe, likawa jambo lisilojulikana, na huyo mwanamke akawa najisi, wala hapana shahidi aliyeshuhudia juu yake, wala hakufumaniwa;