Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 19:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Msifanye yasiyo haki katika hukumu, wala katika kupima, wala katika mizani, wala katika cheo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Usikose kamwe kuamua kwa haki kuhusu vipimo vya urefu, uzito na ujazo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Usikose kamwe kuamua kwa haki kuhusu vipimo vya urefu, uzito na ujazo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Usikose kamwe kuamua kwa haki kuhusu vipimo vya urefu, uzito na ujazo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msifanye yasiyo haki katika hukumu, wala katika kupima, wala katika mizani, wala katika cheo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 19:35
12 Marejeleo ya Msalaba  

tena kazi ya mikate ya wonyesho, na ya unga mwembamba wa sadaka ya unga; ikiwa ni wa maandazi yasiyochachwa, au wa yale yaliyotokoswa, au wa yale yaliyookwa; na kazi ya kila namna ya kipimo na cheo;


Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.


Mizani ya haki na vitanga vyake ni vya BWANA; Mawe yote ya mfukoni ni kazi yake.


Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni chukizo kwa BWANA.


Mtakuwa na mizani ya haki, na efa ya haki, na bathi ya haki.


Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.


Basi sasa, sikieni asemavyo BWANA; Simama, ujitetee mbele ya milima, vilima navyo na visikie sauti yako.


Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.


Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo, katika mfuko wako.


Uwe na jiwe timilifu la haki, uwe na kipimo kitimilifu cha haki; zipate kuwa nyingi siku zako, katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako.