Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 19:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Msikate nywele za kichwa denge, wala kunyoa pembe za ndevu zenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Msikate nywele za kichwa denge, wala kunyoa pembe za ndevu zenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 19:27
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Hanuni akawatwaa watumishi wa Daudi, akawanyoa, akawapasulia nguo zao katikati, hadi kiunoni, kisha akawaachilia waondoke.


Wanapanda juu hata Bayithi na Diboni, mpaka mahali palipo juu ili walie; juu ya Nebo na juu ya Medeba Wamoabi wanalia; Wana upaa juu ya vichwa vyao vyote; kila ndevu zimenyolewa.


Wakubwa kwa wadogo wote pia watakufa katika nchi hii; hawatazikwa, wala watu hawatawalilia, wala kujikatakata kwa ajili yao, wala kujinyoa kwa ajili yao;


wakafika watu kadhaa toka Shekemu, na toka Shilo, na toka Samaria, watu themanini, nao wamenyoa ndevu zao, na kurarua nguo zao, nao wamejikatakata, wakichukua sadaka na ubani mikononi mwao, ili wazilete nyumbani kwa BWANA.


Maana kila kichwa kina upara, na ndevu zote zimenyolewa; mikono yote ina alama za chale, na viuno vyote vimevikwa nguo za magunia.


Tazama, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapowaadhibu wote waliotahiriwa katika hali yao ya kutotahiriwa;


Hawatanyoa vichwa vyao, wala hawataacha nywele zao kuwa ndefu sana; watazipunguza nywele za vichwa vyao tu.


Tena watajifungia nguo za magunia, na utisho utawafunika; na aibu itakuwa juu ya nyuso zote, na upaa juu ya vichwa vyao vyote.


Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.


Wasijifanyie upara kichwani, wala wasinyoe pembe za ndevu zao, wala wasichanje tojo katika miili yao.


Ninyi mmekuwa wana wa BWANA, Mungu wenu; msijitoje miili yenu, wala msifanye upaa katikati ya macho yenu kwa ajili ya aliyekufa.