BWANA akanena na Musa, na kumwambia,
Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,
Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,
bwana akamwambia Musa,
Lakini iwapo hazifui, wala haogi mwili, ndipo atakapolipizwa uovu wake.
Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.