Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 15:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kitanda chochote akilaliacho mwenye kisonono kitakuwa najisi; na kitu chochote atakachokalia kitakuwa najisi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kitanda chochote atakacholalia au atakachokalia, kitakuwa najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kitanda chochote atakacholalia au atakachokalia, kitakuwa najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kitanda chochote atakacholalia au atakachokalia, kitakuwa najisi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Kitanda chochote atakacholalia mtu mwenye kutokwa na usaha kitakuwa najisi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Kitanda chochote atakacholalia mtu mwenye kutokwa na usaha kitakuwa najisi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kitanda chochote akilaliacho mwenye kisonono kitakuwa najisi; na kitu chochote atakachokalia kitakuwa najisi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 15:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na unajisi wake katika kisonono chake ni huu; kama mwili wake unachuruzika kisonono chake, au kama kisonono chake kimezuiwa mwilini mwake, ni unajisi wake.


Mtu yeyote atakayekigusa kitanda chake huyo, atazifua nguo zake, na kuoga mwili wake majini, naye atakuwa najisi hadi jioni.


Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Vitu vyote ni safi kwa hao walio safi; lakini hakuna kilicho safi kwao walio wanajisi, wasioamini; bali akili zao zimekuwa najisi, na nia zao pia.