Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 15:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kitu chochote ambacho anakalia katika kutengwa kwake kitakuwa najisi; na kila kitu ambacho amekalia kitakuwa najisi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kitu chochote anacholalia au kukalia wakati yu najisi, kitakuwa najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kitu chochote anacholalia au kukalia wakati yu najisi, kitakuwa najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kitu chochote anacholalia au kukalia wakati yu najisi, kitakuwa najisi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Chochote atakacholalia wakati wake wa hedhi kitakuwa najisi, na chochote atakachokikalia kitakuwa najisi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Chochote atakacholalia wakati wake wa hedhi kitakuwa najisi, na chochote atakachokikalia kitakuwa najisi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kitu chochote ambacho anakalia katika kutengwa kwake kitakuwa najisi; na kila kitu ambacho amekalia kitakuwa najisi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 15:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kama huna kitu cha kulipa; Kwani ukaondolee kitanda chako chini yako?


Yakulinde na mwanamke mwovu, asikupate, Na kukuponya na ubembelezi wa mgeni.


Hatakubali fidia yoyote; Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.


Nami nimeona lililo na uchungu kupita mauti; yaani, mwanamke ambaye moyo wake ni mitego na tanzi, na mikono yake ni kama vifungo; yeye ampendezaye Mungu atamponyoka, bali mwenye dhambi atanaswa na yeye.


Mwanamke yeyote aliye na hedhi, atatengwa kwa muda wa siku saba; na mtu yeyote atakayemgusa atakuwa najisi hadi jioni.


Mtu yeyote atakayekigusa kitanda chake huyo mwanamke atazifua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hadi jioni.


Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.