Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 15:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 15:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake.


BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,


Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,


ili kufunza itakapokuwa ni unajisi, na itakapokuwa ni safi; hiyo ndiyo sheria ya ukoma.


Haya, semeni na wana wa Israeli, mkawaambie, Mtu yeyote atakapokuwa na kisonono na kutokwa usaha mwilini mwake, atakuwa najisi kwa ajili ya kisonono chake.


Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.


Na kitu chochote atakachokigusa mtu aliye najisi kitakuwa najisi; na mtu atakayekigusa kitu hicho atakuwa najisi hadi jioni.


Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,