Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 14:47 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na mtu alalaye ndani ya nyumba hiyo atazifua nguo zake, naye alaye chakula ndani ya nyumba hiyo atazifua nguo zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeyote anayelala katika nyumba hiyo au kulia chakula ndani yake, lazima ayafue mavazi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeyote anayelala katika nyumba hiyo au kulia chakula ndani yake, lazima ayafue mavazi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeyote anayelala katika nyumba hiyo au kulia chakula ndani yake, lazima ayafue mavazi yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeyote atakayelala au kula ndani ya nyumba hiyo ni lazima afue nguo zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeyote atakayelala au kula ndani ya nyumba hiyo ni lazima afue nguo zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mtu alalaye ndani ya nyumba hiyo atazifua nguo zake, naye alaye chakula ndani ya nyumba hiyo atazifua nguo zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 14:47
4 Marejeleo ya Msalaba  

na mtu awaye yote atakayechukua chochote cha mizoga yao atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni.


Tena mtu atakayeingia ndani ya hiyo nyumba wakati huo wote iliofungwa, atakuwa najisi hadi jioni.


Kisha kuhani akiingia ndani kukagua na kuona kuwa pigo halikuenea katika hiyo nyumba baada ya nyumba kupakwa chokaa; ndipo kuhani atatangaza kuwa nyumba hiyo ni safi, maana pigo limepoa.