Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 13:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kama kuhani akitazama, ikiwa hilo pigo halikuenea katika hilo vazi, wala katika hilo lililofumwa, wala katika hilo lililosokotwa, wala katika kitu chochote cha ngozi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Lakini kuhani akilichunguza na akaona kuwa ule ukoma haujaenea kwenye vazi, au vazi lililofumwa au kusokotwa, au kitu cha ngozi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Lakini wakati kuhani atakapokichunguza na kuona kuwa ule upele haujaenea kwenye nguo iliyofumwa au kusokotwa, au vifaa vya ngozi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kama kuhani akitazama, ikiwa hilo pigo halikuenea katika hilo vazi, wala katika hilo lililofumwa, wala katika hilo lililosokotwa, wala katika kitu chochote cha ngozi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 13:53
3 Marejeleo ya Msalaba  

likiwa limefumwa, au kusokotwa; likiwa ni la kitani au la sufu; liwe katika ngozi, au kitu chochote kilichofanywa cha ngozi;


Naye ataliteketeza vazi hilo, liwe ni la kufumwa au ni la kusokotwa, kama ni la sufu, au la kitani, au kitu chochote cha ngozi, ambacho kina hilo pigo ndani yake; kwa maana, ni ukoma unaona; vazi hilo litateketezwa;


ndipo kuhani ataamuru kwamba wakifue kitu kile kilicho na hilo pigo, naye atakiweka mahali muda wa siku saba tena;