Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 12:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na huyo mwanamke atakaa muda wa siku thelathini na tatu ili kutakata damu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha mama mtoto ataendelea kuwa najisi kwa muda wa siku thelathini na tatu. Wakati huo, kamwe asiguse chochote kilichowekwa wakfu wala kuingia mahali patakatifu mpaka siku za kutakasika kwake zitakapotimia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha mama mtoto ataendelea kuwa najisi kwa muda wa siku thelathini na tatu. Wakati huo, kamwe asiguse chochote kilichowekwa wakfu wala kuingia mahali patakatifu mpaka siku za kutakasika kwake zitakapotimia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha mama mtoto ataendelea kuwa najisi kwa muda wa siku thelathini na tatu. Wakati huo, kamwe asiguse chochote kilichowekwa wakfu wala kuingia mahali patakatifu mpaka siku za kutakasika kwake zitakapotimia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, hadi siku za kutakaswa kwake zimetimia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na huyo mwanamke atakaa muda wa siku thelathini na tatu ili kutakata damu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 12:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya nane mtoto atatahiriwa govi ya zunga lake.


Lakini kama amezaa mtoto wa kike naye atakaa muda wa siku sitini na sita ili kutakata damu yake.


Ndipo Hagai akasema, Kama mtu aliyetiwa unajisi kwa kugusa maiti, akigusa kimojawapo cha vitu hivi, je, Kitakuwa najisi? Makuhani wakajibu, wakasema, Kitakuwa najisi.