Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 11:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kila kiumbe kitambaacho juu ya nchi ni machukizo; hakitaliwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kiumbe chochote kitambaacho duniani ni najisi kwenu, kamwe msikile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kiumbe chochote kitambaacho duniani ni najisi kwenu, kamwe msikile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kiumbe chochote kitambaacho duniani ni najisi kwenu, kamwe msikile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Kila kiumbe kinachotambaa juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kila kiumbe kitambaacho juu ya nchi ni machukizo; hakitaliwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 11:41
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na viumbe vyenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.


Wakafa watu wote waendao juu ya nchi, na ndege, na wanyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu, na kila kitambaacho chenye kutambaa juu ya nchi, na kila mwanadamu;


Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu.


Lakini vyote vitambaavyo vyenye mabawa, vilivyo na miguu minne, ni machukizo kwenu.


Miongoni mwa viumbe watambaao juu ya nchi, hawa ni najisi kwenu; kicheche, panya na mjombakaka kwa aina zake,


Kila aendaye kwa tumbo lake, na kila aendaye kwa miguu minne, na kila aendaye kwa miguu mingi, maana, ni vyote vyenye kutambaa vitambaavyo juu ya nchi, hamtavila, kwa kuwa ni machukizo.