Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 11:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Chakula chochote cha kuliwa kitakuwa najisi kikitiwa maji ya chombo hicho; na kila kinyweo ambacho ni cha kunywewa, kilichomo katika chombo kama hicho, kitakuwa ni najisi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Chakula au kinywaji chochote kilichokuwa ndani ya chombo hicho kitakuwa najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Chakula au kinywaji chochote kilichokuwa ndani ya chombo hicho kitakuwa najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Chakula au kinywaji chochote kilichokuwa ndani ya chombo hicho kitakuwa najisi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka chungu hicho ni najisi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka kwenye chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka kwenye chungu hicho ni najisi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Chakula chochote cha kuliwa kitakuwa najisi kikitiwa maji ya chombo hicho; na kila kinyweo ambacho ni cha kunywewa, kilichomo katika chombo kama hicho, kitakuwa ni najisi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 11:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!


Mwenye kiburi na moyo wa majivuno, Taa yake ni dhambi.


Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini.


Na kila chombo cha udongo, wanyama hao mmojawapo atakachokiangukia, kila kilichomo ndani yake kitakuwa ni najisi, na hicho chombo kitavunjwa.


Na kila kitu kitakachoangukiwa na kipande chochote cha mizoga yao kitakuwa najisi; iwe ni tanuri, au meko ya vyungu, kitavunjwa vipande vipande; ni najisi vitu hivyo, navyo vitakuwa najisi kwenu.


Vitu vyote ni safi kwa hao walio safi; lakini hakuna kilicho safi kwao walio wanajisi, wasioamini; bali akili zao zimekuwa najisi, na nia zao pia.